JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukraine yailenga miundombinu ya Urusi kwa kutumia dronI

UKRAINE kwa mara nyingine imefanya mashambulizi makubwa ya ndege zisizo na rubani kwenye mikoa ya Urusi Mashambulizi hayo ya usiku kucha wa kuamkia siku ya Jumamosi yamesababisha milipuko katika miundombinu ya kuchakata mafuta. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema hii…

Taifa Stars yaanza vyema michuano CHAN, yaichapa Burkina Faso 2-0

Timu ya Taifa ya Tanzania, maarufu kama ‘Taifa Stars’ imeanza vyema kampeni zake katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) kwa mwaka 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina…

REA yatoa bilioni 4 kuzalisha umeme wa maji Lupali

Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 4.6 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa maji Lupali wenye uwezo wa kuzalisha kilowati 317 unaotekelezwa na shirika la Benedictine Sisters of St. Gertrud Convent Imiliwaha. Hayo yamebainishwa na Mjumbe…

Matukio mbalimbali katika sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN

Picha za matukio mbalimbali katika Sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024, leo Agosti 02, 2025, ambapo Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inachuana na Burkina Faso, katika Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Nishati na taasisi zake zashiriki maonesho ya kimataifa ya kilimo Dodoma

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO DODOMA Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Tarehe 1 Agosti Katika Viwanja Nzuguni Jijini Dodoma. Maonesho hayo…

Dk Biteko aomba kura ya ndiyo kwa wajumbe Bukombe

Mbunge wa Jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake, Dkt. Doto Mashaka Biteko ambaye ameomba tena ridhaa ya kutetea kiti hicho, ameeleza furaha na shukrani aliyonayo kwa Wananchi wa Bukombe kufuatia ushirikiano waliompa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. @biteko Dkt….