JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Marekani inawezaje kuwa  kiranja wa demokrasia?

Na Nizar K. Visram Desemba 9 na 10 mwaka huu, Joe Biden, Rais wa Marekani, ameitisha mkutano wa kimataifa kuhusu demokrasia.   Alizialika nchi 110 katika mkutano wa kilele uliofanyika kwa njia ya mtandao. Licha ya wakuu wa nchi, walialikwa pia…

Mwinyi aibadili Z’bar

*Ajibu maswali magumu ya waandishi, afanya uamuzi mgumu kwa ujasiri *Afafanua uchumi wa bluu, awatoa wasiwasi wakaazi nyumba za maendeleo *Akabidhi visiwa 10 kwa wawekezaji, wanaoatamia ardhi kunyang’anywa *Asema mawaziri wanaoogopa waandishi inaashiria hawajafanya lolote Na Deodatus Balile, Zanzibar Rais…

Agizo la Rais Samia lawasha moto Bandari

*DG Eric asimamisha kazi wafanyakazi 13, orodha ya wahusika yatajwa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wiki moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza watu waliohusika na ununuzi wa mifumo iliyoiingiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika…

Washinikiza Sambi aachiwe

#Waandamana hadi Ubalozi wa Tanzania mjini Moroni #Ufaransa, Ulaya, Uarabuni maelfu wasaini ‘petisheni’ NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Mamia ya wananchi ndani na nje ya Muungano wa Visiwa vya Comoro wamejitokeza kushinikiza kuachiwa huru kwa aliyekuwa Rais wa Muungano…

Chupuchupu kwa Mkapa

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Dakika 90 za mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa miamba ya soka Tanzania Bara, Simba na Yanga, zimemalizika kila upande ukisema wenzao wameponea chupuchupu. Mechi hiyo iliyofanyika jioni ya Jumamosi iliyopita imemalizika…

Nashauri Aisha apewe tuzo ya kitaifa

Laiti tungekuwa tunahangaishwa na mambo serious, kwa hakika taarifa ya dada Aisha Twalibu, mlinzi wa kampuni binafsi pale Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ndiyo ingepamba mijadala kwenye vyombo vya habari na mitaani kwetu kote. Huhitaji kuelezwa ukweli kwamba mtu yeyote anayefanya…