Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani amewatakia Kwaresma njema Wakristo wote na kuwataka kuendelea kuiombea nchi na Dunia nzima amani na upendo.
Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani amewatakia Kwaresma njema Wakristo wote na kuwataka kuendelea kuiombea nchi na Dunia nzima amani na upendo.