Author: Jamhuri
Serikali yaonyesha nia kumaliza kiu Mabadiliko ya Sheria ya Habari’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar WAKILI wa kujitegemea na mwakilishi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),amesema kuwa katika mchakato wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari,Serikali imeonyesha nia ya kufanyia kazi vipengele mbalimbali hivyo mchakato huo utapata majibu yatakayomaliza kiu sekta ya habari….
Wahifadhi watakiwa kujenga mahusiano mazuri na wananchi
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja amewataka wahifadhi kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaoishi pembezoni mwa hifadhi ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao ya kuhifadhi rasilimali za Taifa. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe….
Mzee Kusila atakumbukwa kwa mengi
Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amesema Mzee William Kusila alipenda kuona viongozi wanazingatia miiko, na kuishi kwa kuwa mfano mwema kwa jamii. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu…
Wabunge wakumbushwa kutekeleza kwa wakati ahadi zao
Na Is-Haka Omar,JamhuriMedia,Pemba NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dk.Abdulla Juma Mabodi, amewataka Wabunge, Wawakilishi na Madiwani kutekeleza kwa wakati ahadi walizotoa kwa wananchi katika kampeni za uchaguzi uliopita. Wito huo ameutoa katika ziara yake ya kuimarisha Chama Cha…
Kawishe bilionea mpya wa Tanzanite
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaa,Mirerani MCHIMBAJI wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Anselim Kawishe ametangazwa kuwa bilionea mpya wa madini ya Tanzanite. Kawishe amekuwa bilionea mpya baada ya kupata vipande viwili vya madini hayo vya…