Author: Jamhuri
Pula yaondoa mahakamani shtaka dhidi ya kampuni ya ARM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kesi ya madai iliyokuwa imefunguliwa na kampuni ya Pula LLC na Pula Graphite Partners, dhidi ya kampuni ya African Rainbow Minerals Ltd. (ARM) ya nchini Afrika Kusini na washirika wake sita kuhusiana na kuvunja makubaliano ya…
Iran yawanyonga saba kwa mashtaka ya dawa za kulevya, ubakaji
Iran Jumatano iliwanyonga wanaume saba katika magereza mawili nje ya Tehran kwa mashtaka kuhusiana na dawa za kulevya na ubakaji, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limesema, na kuharakisha kile wanaharakati wanachokielezea kama msururu wa kuwanyonga watu katika kipindi cha…
Waziri Mkuu azipongeza Simba na Yanga
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameungana na Watanzania kuipongeza klabu ya Yanga kwa hatua ya nusu fainali waliyofikia katika mashindano ya kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF). Waziri Mkuu Majaliwa amesema…
Okash awakalia kooni walawiti na wabakaji, atoa onyo kali.
Na Mwamvua Mwinyi,JAMHURI MEDIA Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ,Halima Okash ,ametoa onyo kali kwa wabakaji na walawiti na kusisitiza zuio la dhamana kwa watuhumiwa hao hasa ambao wamekuwa wakijitamba wanaporejea uraiani baada ya kupata dhamana. Aidha ameeleza,atakayekutwa na hatia…
CCM Bagamoyo yamtaka DC Okash kusimamia kero ya tembo Kiwangwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Chama Cha Mapinduzi CCM, Bagamoyo mkoani Pwani, kimemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Halima Okash kusimamia utatuzi wa kero ya uwepo wa tembo katika kata ya Kiwangwa ambao unadaiwa kuharibu mashamba ya wakulima. Ombi hilo…





