Author: Jamhuri
Tumbi yaanza kutoa huduma ya kusafisha damu, CT-Scan
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani HOSPITAL ya Rufaa ya mkoa ya Tumbi, Mkoani Pwani imeanza kutoa huduma ya kusafishwa damu pamoja na mashine za CT-scan pamoja na X-ray za kielektroniki. Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ameeleza neema hiyo kwa…
CBE yatambia mitaala inayokwenda na wakati
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya biashara zao utakuwa wa manufaa makubwa. Chuo kimesema lengo la kufanya hivyo ni kutatua tatizo kubwa la ajira…
Serikali imedhamiria kumaliza changamoto zote za elimu msingi
Naibu Waziri Ofisi ya Rais -TAMISEMI (Elimu),David Silinde amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imadhamiria kwa dhati kuhakikisha inamaliza changamo zote za elimu Msingi nchini. Ameeleza hayo tarehe 19 Februri 2023 wakati wa…





