JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dalali, TBA mikononi mwa Waziri Mkuu

Waliouza nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103 iliyoko Kitalu ‘S’ eneo la Mafiati jijini Mbeya kwa gharama ya Sh milioni 250 kwa mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam, Saul Henry Amon, wamelalamikiwa kwa Waziri Mkuu. Nyumba hiyo ambayo…

Ndungu Rais tutengenezee Rais mwingine

Ndugu Rais, imeandikwa kuwa mwenye busara akiamua kujenga nyumba, kabla hajafanya chochote, hukaa chini, akachukua kalamu na karatasi na kupiga hesabu! Naye akishapata gharama kamili ndipo huanza ujenzi. Kazi ya ujenzi na kuistawisha nchi haina tofauti na ujenzi wa nyumba….

Sasa si ukwepaji kodi tena, bali ni ukwapuaji kodi

Hatimaye Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amewasilisha  kiwango na ukomo wa bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017. Waziri ameliambia Bunge kuwa  mwaka ujao wa fedha zitatumika Sh trilion 29.53. Kati ya fedha hizo,…

Ushirikiano wa TANU na ASP kabla ya 1964 (3)

Serikali ya Tanganyika ilichukua msimamo wa kuwa kusaidia ASP baada ya mwaka 1960 na kabla ya mwaka 1964 kwenye uchaguzi Zanzibar. Tanganyika ilitaka kutoa msaada wa hali na mali kwa ASP ili ishinde uchaguzi wa mwaka 1961 na wa mwaka…

Mwafrika bado “Le Grande Enfante”

Enzi za ukoloni, Wafaransa walitawala zaidi nchi zile za Afrika Magharibi. Mtindo wao wa kutawala ulikuwa tofauti sana na ule wa Waingereza tunaolijua sisi huku Afrika Mashariki. Kwa Wafaransa waliwachukulia Waafrika wasomi kama wenzao ndiyo maana Waafrika wasomi waliweza kuwa…

Yah: Serikali lazima itishe watu ili mambo yaende

Kuna wakati niliwahi kumsikia Mwalimu Julius Nyerere akihutubia wananchi juu ya kulipa kodi. Katika hili alisema serikali ni lazima wawe wakali ili kila mtu aweze kulipa kodi, kodi ni kwa maendeleo ya nchi na watu wake, haiwezekeni Serikali icheke na…