JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Samia atenga bil 1.9/- kununua mitambo kuondoa magugu Mwanga

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia,Mwanga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameseama serikali imetenga Sh bilioni 1.9 kwa ajili ya ununuzi wa mitambo ya kuondoa magugu maji Ziwa Jipe lililopo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Rais Samia…

Dodoma yaingia kwenye ramani ya miji salama kupitia CCTV

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amekagua utekelezaji wa Mradi wa kusimika Kamera za usalama (CCTV) katika jiji la Dodoma, mradi unaogharimu shilingi milioni 473 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Mradi…

Kura zote Butinzya tumpigie Dk Samia Dk Biteko

Na Mwandishi Wetu Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Kata ya Butinzya, Wilayani Bukombe kumpigia kura mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)…

Pwani yaendelea kung’ara katika utekelezaji wa mpango wa kupunguza umaskini uliokithiri

Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkoa wa Pwani umeendelea kuwa mfano wa mafanikio katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kupunguza umasikini uliokithiri na kuboresha maisha ya wananchi wa kipato cha chini….

TISEZA yaja na fursa kuvutia wawekazaji kongani ya Kwala

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), imekuja na mikakati mipya ya kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kukuza ushindani na maendeleo ya sekta ya uwekezaji nchini. Kupitia…