Author: Jamhuri
Dk Biteko azindua programu ya ugawaji majiko ya umeme kwa wafanyakazi TANESCO
Lengo ni kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia Asema matumizi ya umeme kwa ajili ya kupikia ni nafuu zaidi ukilinganisha na mkaa; Wananchi wahamasike Amtaja Rais Samia mafanikio Sekta ya Nishati Awapongeza TANESCO kutekeleza maoni ya Rais Samia kwa…
Mramba: Hatma ya wagombea CCM iko mikononi mwa vikao ngazi za juu
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimetoa rai kwa wagombea wa ubunge na udiwani walioongoza katika mchakato wa kura za maoni kuacha kufanya mbwembwe na kutengeneza makundi, na badala yake wawe watulivu kusubiri vikao vya juu…
Wizara ya Afya yaahidi kupatia BMH vifaa tiba kwa ajili ya kituo cha upandikizaji figo
Na WAF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kukamilisha mradi wa upanuzi wa kituo cha upandikizaji figo uliogharimu Shilingi Bilioni 1.5 na kuahidi Wizara ya Afya itahakikisha inaipatia BMH…
Mbarali waipa kongole wizara kuandaa kliniki maalum ya ardhi
Na Munir Shemweta, WANMM Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoa wa Mbeya wameipa pongezi wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuandaa Klinik ya Maalum ya Ardhi kwa ajili ya kuongeza kasi ya umlikishaji…