JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wafanyabiashara walikimbia Soko la Buguruni

Zaidi ya wafanyabiashara 500 katika Soko la Buguruni katika Manispaa ya Ilala wamelikimbia soko hilo kutokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo kutokuwepo kwa usafiri wa uhakikika kwa wateja na miundombinu mibovu wakati wa mvua. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Katibu wa…

Tanzania yaungana na dunia kukabili corona

Tanzania imechukua hatua ya kusitisha safari za ndege za kimataifa kama sehemu ya jitihada zinazochukuliwa na nchi nyingi duniani kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa virusi vya corona (COVID-19). Mashirika mbalimbali ya ndege ulimwenguni yamesitisha safari zao kwa lengo la…

Daktari bingwa aanzisha mtandao wa kuelimisha wazazi

Daktari bingwa wa watoto katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam, Rahim Damji, ameanzisha mtandao wa kutoa ushauri na elimu ya afya ambao umewasaidia wazazi wengi kuokoa maisha ya watoto wao. Akizungumza na JAMHURI hivi kaibuni, Dk. Damji, amesema…

Bodi ya Korosho yatakiwa kulipa 16m/-

Bodi ya Korosho imetakiwa kulipa haraka deni la Sh milioni 16 kwa Kijiji cha Kimanzichana Kaskazini, wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani baada ya kukodi ghala la kijiji hicho kwa ajili ya kuhifadhi pembejeo za korosho. Agizo hilo limetolewa hivi…

Tujiandae kugharamia bajeti yetu kutoka ndani

Wiki iliyopita Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, aliwasilisha kwa wabunge mapendekezo ya serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21. Katika wasilisho lake, Dk. Mpango alieleza kuwa kwa mwaka ujao…

MAISHA YANAPOKUPATIA LIMAU, TENGENEZA JUISI YA LIMAU (1)

Badili picha mbaya kuwa picha nzuri Kuna wanaoona miiba kwenye ua waridi na kuna wanaoona waridi kwenye miiba. Penye ubaya kuna jambo jema limejificha, penye ugumu kuna furaha imejificha, penye matatizo kuna fursa zimelala. Uwezo wako wa kubadili picha mbaya…