Author: Jamhuri
Ukombozi na mapinduzi kwa wanawake
Napenda kusema kwa mama zangu kuwa suala la ukombozi daima huambana na mapinduzi. Hayo ni mapambano yanayohitaji dhamira, busara, ujasiri na utashi wa kujikomboa kifikra na kiutamaduni. Kabla sijazungumzia ukombozi na mapinduzi ya mwanamke wa Kitanzania, nimeamua kwanza kuwafahamisha imani…
Namna ya kumsaidia ndugu yako kupata dhamana Polisi
DHAMANA NININI? Dhamana ni hatua ambayo mtuhumiwa wa kosa fulani huachiwa huru kwa muda, ili kusubiri hatua za kufikishwa mahakamani, au kama tayari amefikishwa mahakamani husubiri kuendelea na kesi kwa siku zijazo. Kwa hiyo, ili lije suala la dhamana ni…
Sheria ya Makosa ya Mtandao ina hitilafu kubwa
Nilipata fursa ya kushuhudia kwenye runinga majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Kwa mtazamo wangu, sheria ikianza kutumika kutakuwa na ongezeko kubwa la watumiaji wa mawasiliano; hasa ya simu, kubebeshwa makosa, kulipa faini, na…
Ni vigumu kutokomeza ukeketaji
Vita dhidi ya ukeketaji kwa wasichana na kinamama Wilaya ya Tarime mkoani Mara, inaweza kuwa ngumu kwa sababu mangariba huchukulia jambo hilo kama ajira licha ya kuwa ni ya msimu tu, likifanyika kila Desemba. Taarifa kwamba wanafaidika kiuchumi imetolewa na…
Salum Abdallah aliuza nyumba kununua vyombo vya muziki
Mji wa Morogoro ni miongoni mwa miji iliyokuwa maarufu kwa michezo na burudani katika miaka ya 1950, 1960 na ya 1970. Watu wengi walitoka Dar es Salaam na kwenda kufanya starehe za kumaliza wiki mjini humo. Hali ya hewa…
Snake Junior ndio kama mlivyosikia
Wakati mashabiki wa ngumi wakisubiri pambano la kukata na shoka kati ya mabondia mahiri duniani, Manny ‘Pacman’ Pacquiao na Floyd Mayweather, mambo yamekuwa mabaya kwa bondia kinda wa Tanzania, Mohammed ‘Snake Jr’ Matumla. Snake Junior-mtoto wa bondia mahiri wa zamani…