Author: Jamhuri
Rais Mwinyi : Tuzindue mpango wa ujuzi kwa vijana katika uchumi wa buluu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni muhimu kuzinduliwe mpango wa ujuzi wa Vijana wa Jumuiya ya Madola ambao utawapa vijana milioni moja ujuzi katika sekta ya uchumi wa bluu na kijani ifikapo…
Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya miaka ya 53 ya kifo cha hayati Karume
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Dua na Kumbukizi ya Miaka 53 ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…
Israel yaendeleza mashambulizi Ukanda wa Gaza
Mashambulio ya Israel yasababisha mauaji ya watu wawili akiwemo muandishi habari na kuwajeruhi wengine tisa, Ukanda wa Gaza. Israel imeshambulia mahema yanayotumiwa kama makaazi na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ,nje ya hospitali mbili kubwa kwenye Ukanda huo na kuua…
Wapalestina waliouawa Gaza wafikia 50,700
Watu wasiopungua 15 ikiwemo mwandishi habari mmoja wameuawa leo kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya vikosi vya Israel na kufanya idadi ya Wapalestina waliouawa tangu Oktoba 2023 kupindukia 50,000. Taarifa kutoka Ukanda wa Gaza zinasema vikosi vya Israel…
Profesa Lipumba atoa ya moyoni kuhusu bajeti
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar Salaam MWENYEKITI wa Chama Wananchi (CUF), Prof. Ibrahimu Lipumba ameshauri ili kuwatendea haki Watanzania hotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti ianze kutolewa ufafanuzi wa kwa nini malengo ya mpango wa tatu wa maendeleo hayajafikiwa licha ya…