Author: Jamhuri
Ujumbe wa Malawi watemblea maonesho ya Nanenane ya teknolojia ya madini Geita
Na Mwandishi Wetu, Geita SHIRIKISHO la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) limepokea mwaliko rasmi kutoka kwa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Malawi kushiriki katika Maonesho ya Kwanza ya Teknolojia ya Madini nchini humo, yanayotarajiwa…
Dk Biteko aeleza miaka 10 ya mapinduzi ya maendeleo Bukombe
Ataja sababu za kumchagua Dkt. Samia kwa kura nyingi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa kwa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada…
Deodatus Balile apongeza matumizi ya nishati jua katika kilimo na uhifadhi wa mazao
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Deodatus Balile amewaasa waandishi wa habari nchini kuongeza nguvu katika kuandika na kuripoti habari zinazohusu matumizi ya nishati ya jua hasa katika sekta ya kilimo na uhifadhi…
Samia kusaka kura Kibaha, Tanga
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan anatarajia kuendelea na kampeni zale cha uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mkoani Septemba 28,2025. Rais Samia kesho anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa katika uwanja…
Wananchi Magu waishukuru Serikali kuwapatia hati za hakimiliki za kimila
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Magu Wananchi wa vijiji vitatu vya Chandulu, Salama, Mwabulenga vilivyopo kata ya Ng’haya wilaya ya Magu mkoa wa Mwanza wameishukuru serikali kwa uamuzi wake wa kuwapimia na kuwamilikisha maeneo yao kwa kuwapatia Hati za Hakimilki za…
Utendaji kazi Wizara ya Nishati na Taasisi zake waimarika
📌 Wapanda kutoka asilimia 95 hadi 96.16 katika kipindi cha robo mwaka 📌 Mhandisi Mramba asema ongezeko hilo linaakisi utoaji wa huduma kwa wananchi 📌 Apongeza Taasisi kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa Wananchi. 📌 Asisitiza mitandao ya kijamii kutumika ipasavyo…