Author: Jamhuri
Serikali imeendelea kuchukua hatua kukabiliana na athari za mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kukabiliana na changamoto za athari za mabadiliko ya tabianchi zinazochangia kuongezeka kwa kina cha bahari na kuathiri fukwe mbalimbali. Hayo yamesemwa na Naibu wa Waziri Ofisi ya Makamu wa…
Marufuku ya kusafiri ya Trump ya nchi 12 kuanza kutekelezwa
Marufuku mpya ya kusafiri ya Rais Donald Trump ambayo inazuia raia wa nchi 12 kuingia Marekani ilianza kutekelezwa saa 00:00 ET (05:00 BST) Jumatatu. Agizo hilo ambalo Trump alitia saini wiki iliyopita, linawazuia raia wa Afghanistan, Myanmar, Chad, Congo-Brazzaville, Equatorial…
Iran: Tutatoa pendekezo jipya la nyuklia kwa Marekani
Iran kupitia msemaji wa wizara ya mambo ya nje Esmaeil Baqaei, imesema hivi karibuni itawasilisha pendekezo la kupinga makubaliano ya nyuklia na Marekani, baada ya kusema kuwa pendekezo hilo lina utata. “Hivi karibuni tutawasilisha pendekezo letu kwa upande mwingine ambao…
Baada ya kujenga daraja, Aliko ataka ubunge CCM
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia,Rungwe Baada ya kuchangia maendeleo mara nyingi ikiwemo Ujenzi wa Madaraja katikaJimbo la Rungwe mkoani Mbeya, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwaiteleke Foundation Aliko Anyambilile Mwaiteleke, sasa anautaka ubunge Rungwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliko aliyejitolea kutunza…
Wanamichezo waendelea kuwasili viwanjani uzinduzi UMITASHUMTA & UMISSETA 2025
OR-TAMISEMI Wanamichezo kutoka mikoa mbalimbali wanaendelea kuwasili katika viwanja vya Kichangani Manispaa ya Iringa kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya UMITASHUMTA & UMISSETA 2025. Ufunguzi huo unatarajiwa kuongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim…
Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3 – MD Twange
📌Asema awamu ya kwanza utazalisha Megawati 50 na kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kishapu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3…





