JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Fredrick Lowassa: Wana Arusha mchagueni Dk Samia anajua mahitaji yenu na ana uwezo wa kuyatatua

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredrick Lowassa, amesema kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu wananchi wanapaswa kuchagua mgombea anayejua mahitaji yao na mwenye uwezo wa kuyatatua. Ameyasema hayo Oktoba 3, 2025, katika muendelezo wa kampeni za Mgombea Urais wa…

Karatu waandika historia mapokezi kwa Dk Samia

Wenye kalamu, makaratasi huu ndio wakati wenu kwakuwa wapiga picha wao washamaliza kazi yao, yaani kaeni tayari sasa kuandika historia mpya kutoka hapa wilayani Karatu mkoani Arusha ambapo nyomi hili la wananchi hawa limejitokeza wakiwa na shangwe kwelikweli huku wakisema…

Dk Migiro awasili Karatu, atoa salama za ujio wa Dk Samia

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asharose Migiro, amewasili na kupokelewa na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika viwanja vya mnadani wilayani Karatu mkoani Arusha leo tarehe 3 Oktoba 2025 wakiwa tayari kumsubili na kumlaki Mgombea Urais wa…

JKCI, HTAF waanzisha shindano la insha shuleni kuhusu magonjwa ya moyo

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Moyo ya Jakata Kikwete (JKCI), kwa kushirikiana na Heart Team Africa (HTAF) wameanzisha shindano la insha shuleni ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha watanzania wanatambua hatari ya magonjwa ya moyo tangu wakiwa wadogo. Shindano hilo lilizinduliwa…

Tanzania miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika matumizi ya TEHAMA

Na Francisco Peter, Dar es Salaam Tanzania ni miongoni nchi zinazofanya vema katika utekelezaji mifumo ya matumizi TEHAMA kwenye sekta ya afya. Tayari ipo mifumo kuanzia ngazi kata ambapo imeweza kukusanya taarifa ngazi za chini kwenda hadi kitaifa ambayo usaidia…

Watoto watatu wa familia moja wafariki kwa ajali ya moto Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watoto watatu wa familia moja, wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya juu ya nyumba ya ghorofa iliyopo mtaa wa Kitende kwa Mfipa, Kibaha, mkoani Pwani. Tukio hilo limetokea Oktoba 1, 2025 majira…