Author: Jamhuri
Katibu wa Siasa na Uenezi akanusha uvumi wa vurugu wakati wa kura za maoni Jimbo la Mbarali
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Mbarali Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata ya Miombweni, Sevia Dickson Ngubi, amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa kulitokea vurugu wakati wa zoezi la kura za maoni lililofanyika wiki iliyopita katika kata hiyo. Akizungumza na vyombo…
NEMC yawafikia wadau 1,450 elimu ya mazingira nanenane
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewafikia wadau takriban 1,450 kwa utoaji wa elimu ya uhifadhi na usimamizi endelevu wa mazingira katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane jijini Dodoma na…
Heshima za mwisho kwa hayati Ndugai
Viongozi mbalimbali wakitoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai leo tarehe 10 Agosti 2025 katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)