JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Afukuzwa msibani kwa kutelekeza mke na watoto sita kwa miaka 14

Na Manka Damian , JamhuriMedia, Mbeya KATIKA hali isiyokuwa ya Kawaida wananchi wa kata ya Itezi mtaa wa Gombe Kusini Mkoani Mbeya wamelazimika kumfukuza msibani mwanaume mmoja aitwaye ,Seleman Lukama baada ya kumtelekeza kwa miaka 14,mke wake Anna Anosyesye na…

Naibu Waziri Mkuu Dk Biteko ahimiza kanisa kuliombea Taifa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali chini ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inalojukumu la kuhakikisha uchaguzi Mkuu unafanyika kwa amani na haki. “Wito wangu kwa kanisa ni kuendelea kuliombea Taifa liendelee kuwa…

Majaliwa aisifu SAGCOT kwa kuwa chachu ya maendeleo ya kilimo nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameisifu taasisi inayojihusisha na mpango wa kukuza kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania ( SAGCOT) kwa kuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo ya kilimo hapa nchini ambapo kupitia utendaji kazi mzuri…

NHIF yapewa tano utekelezaji Bima ya Afya kwa wote

Na MwandishibWetu, JamhuriMedia, Singida Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umepongezwa kwa kuanza utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ambapo kwa sasa wananchi wanajiunga kupitia vifurushi vya Ngorongoro na Serengeti. Pongezi hizo zimetolewa leo na…

Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation na NEXLAW waungana kuinua wajasiriamali vijana Tanzania

Na Mwandishi Wetu Taasi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) na Kampuni ya wanasheria NEXLAW Advocates ya Dar es Salaam wamesaini rasmi makubaliano ya ushirikiano (MoU) yenye lengo la kuimarisha na kukuza ujasiriamali wa vijana nchini Tanzania kupitia Mpango wa…

Diwani Kisarawe azindua msimu wa nne wa mbio za Jerusalem

Na Lookman Miraji Diwani wa Kata ya Kisarawe 2, iliyoko katika Wilaya ya Kigamboni, Issa Hemed ameuzindua rasmi msimu wa nne wa mbio za hisani zijulikanazo kama Mbio za Jerusalem. Mbio hizo ambazo hufanyika kila mwaka chini ya uratibu wa…