JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

BRELA yawanoa waadishi wa habari wa Jamhuri Media

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imetoa mafunzo ya usajili na rasimishaji wa biashara kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Jamhuri Media. Akizungumza baada ya mafunzo hayo yaliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo…

TANAPA yavunja rekodi tena

*Makusanyo yagonga Sh bilioni 411 kwa miezi 7 *Wizara yaipa mwelekeo ikusanye Sh trilioni 1 *Sinema ya The Royal Tour yatajwa kuwa chachu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limeendelea kuvunja rekodi ya…

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani afungua mkutano wa kibunge New York

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 11 Machi, 2025 amefungua Mkutano wa Kibunge wakati wa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hadhi ya…

Rais Samia ametoa kipaumbele wa Serikali za Mitaa kuchochea maendeleo- Mchengerwa

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuweka mkazo katika kuimarisha serikali za mitaa kama chachu ya maendeleo ya wananchi kwa kuongeza rasilimali, kuboresha mifumo ya utendaji,…

Trump anamaliza vita duniani

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Januari 14, 2025 niliandika makala yenye kichwa cha habari: “Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu.” Naomba kujinukuu japo aya chache katika makala hiyo. “Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa…

‘Uvuvi ni Utajiri’

*Mapato ya mazao ya uvuvi yaongezeka maradufu ndani ya mwaka mmoja wa utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wavuvi boti za kisasa Na Joe Beda, JamhuriMedia, Pangani Ni siku ya Jumatano, Februari 26, 2025 nipo jijini Tanga. Mji umechangamka kwelikweli. Kisa?…