Author: Jamhuri
Tanzania kuadhimisha kitaifa Siku ya Haki ya Mtumiaji Machi 15 Morogoro
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani Machi 15, 2025 ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika mjini Morogoro yakiongozwa na kauli mbiu isemayo ‘Matumizi endelevu ya rasilimali…
Mwakinyo ashikiliwa na Polisi Tanga kwa tuhuma za kujeruhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la Bondia Hassan Mwakinyo (29) tuhuma za kumjeruhi na kumshambulia mkazi wa Sahare Jijini Tanga Mussa Ally (21) mvuvi mkazi wa Sahare Jijini Tanga….
Mramba: Kununua umeme nje ya nchi, haimaanishi kuna upungufu nchini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa ununuzi wa Umeme kutoka nchi Jirani haimaanishi kuwa nchi iko katika changamoto ya upungufu wa umeme kwa kuwa mpaka sasa Tanzania inazalisha…