JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiwanda cha kusafisha na kuongeza thamani madini adimu kujengwa Ngwala, Songwe

▪️Uendelezaji wa Mradi kuanza rasmi Disemba 2025 ▪️Ni mradi wa Madini Adimu utakaogharimu Bilioni 771 ▪️Waziri Mavunde azindua zoezi la ulipwaji fidia wananchi 192 ▪️Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa mazingira ya uwekezaji ▪️Serikali kuvuna mapato ya zaidi ya Trilioni 12…

Dk Jingu ataka elimu ya stadi ya maisha iguse jamii

WMJJWM- Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, ametaka huduma na elimu ya stadi za maisha zinazotolewa katika Makao ya Taifa ya kulelea watoto Kikombo Dodoma kufikia Jamii. Dkt. Jingu amesema…

Makamu wa Rais afungua mkutano wa mwaka wa Chama cha Wafanasia Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wafamasia nchini kuendelea kulipa kipaumbele suala la elimu ya matumizi sahihi ya dawa ili kuisaidia jamii kutambua na kuepuka madhara ya matumizi holela ya…

Trilioni 1.18/- za Rais Samia zavunja ukame wa maendeleo Ruvuma, miaka minne yachanua

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi cha miaka minne tu, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiweka Ruvuma katika ramani ya maendeleo kupitia uwekezaji wa kihistoria wa zaidi ya shilingi trilioni 1.18, ukigusa…