Author: Jamhuri
NCAA yavuka lengo ukusanyaji mapato
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA)imeeleza kuwakuwa, katika mwaka wa fedha 2024/25 kuanzia mwezi Julai hadi Februari 2025, imeshakusanya shilingi bilioni 212 huku idadi ya watalii ikifikia 830,295 ambayo inayojumuisha watalii wa nje 509,610 na…
Mramba : Biashara ya kuuziana umeme kunufaisha Tanzania
📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika 📌Asema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umeme Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati…
Waaswa kuendelea kuchukua tahadhari kujikinga na Marburg
Na Elimu ya Afya kwa Umma Jamii imeaswa kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga na Magonjwa ya mlipuko ikiwemo Marburg. Hayo yamebainishwa na Afisa Lishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Mkoani Kagera Bi.Domina Jeremiah wakati akitoa elimu ya Afya katika…
Watu 700 wachunguzwa moyo Arusha
Watu 700 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika maonyesho ya kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake yaliyofanyika jijini Arusha. Huduma hizo zilitolewa kwa muda wa siku saba katika viwanja vya TBA Kaloleni na wataalamu wanawake wa magonjwa…