Author: Jamhuri
Utendaji kazi wa Wizara ya Nishati na taasisi zake waimarika kwa zaidi ya asilimia 95
📌 Dkt. Biteko apongeza; akumbusha Watendaji umuhimu wa tathmini katika kuboresha utendaji kazi 📌 Ataka TANESCO kuendelea kuboresha miundombinu ya umeme; kubuni vyanzo vipya 📌 Aziagiza Taasisi chini ya Wizara kuungana kuitekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ofisi…
Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Trilioni 20.19 kwa matumizi ya 2025/26
Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media, Dodoma Wizara ya Fedha imewasilisha ombi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuidhinishiwa matumizi ya jumla ya Shilingi trilioni 20.19 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo kwa mwaka wa fedha 2025/2026….
Wizara ya Fedha yataja vipaumbele vitano katika utekelezaji wake mwaka wa fedha 2025/26
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Fedha imeainisha vipaumbele vyake vitano itakavyovitekeleza katika mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa bajeti ya serikali. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amevitaja vipaumbele hivyo kuwa…
Ussi: Ilala yang’ara kwa mradi wa nishati safi ya kupikia katika soko la samaki Feri
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Isimail Ally Ussi, amesema Wilaya ya Ilala imeng’ara kwa mradi wa Nishati safi ya kupikia ya gesi katika soko la Kimataifa la Samaki Feri Wilaya ya Ilala…
Dk Nindi: Tume ya Umwagiliaji ipanue wigo wa huduma nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa kazi zake kwa kuwafikia wadau jumuishi wa sekta nyingine lengo likiwa ni kuhakikisha…





