Author: Jamhuri
Kura zote Butinzya tumpigie Dk Samia Dk Biteko
Na Mwandishi Wetu Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Kata ya Butinzya, Wilayani Bukombe kumpigia kura mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)…
Pwani yaendelea kung’ara katika utekelezaji wa mpango wa kupunguza umaskini uliokithiri
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkoa wa Pwani umeendelea kuwa mfano wa mafanikio katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kupunguza umasikini uliokithiri na kuboresha maisha ya wananchi wa kipato cha chini….
TISEZA yaja na fursa kuvutia wawekazaji kongani ya Kwala
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), imekuja na mikakati mipya ya kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kukuza ushindani na maendeleo ya sekta ya uwekezaji nchini. Kupitia…
Wakili Mpanju :Wazee ni nguzo muhimu ya maendeleo ya taifa
Na Mwandishi Wetu KATIKA kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee…
Sumaye asema kaskazini mambo yatakuwa safi
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Same Mratibu wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Kaskazini, Frederick Sumaye amesema wananchi wa kanda hiyo wameahidi kufuta hali fulani ambayo ilikuwa inakisumbua chama hicho na mambo yatakuwa safi. Sumaye ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi…





