JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mashambulizi ya Urusi yaua watu 25 Ukraine

TAKRIBAN watu 25 wamefariki nchini Ukraine katika wimbi la hivi punde la mashambulizi ya Urusi, maafisa wa Ukraine wanasema, huku mzozo huo ukiwa hauonyeshi dalili zozote za kurudi nyuma. Shambulio moja katika Mkoa wa Donetsk liliua takriban watu 11 na…

Rais Samia: Tanzania imetekeleza malengo 17 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema hadi sasa Tanzania imetekeleza Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDG’s). Akizungumza katika ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake Dunia ambapo kitaifa yamefanyika…