Author: Jamhuri
Rais Samia aongoza Watanzania kutoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu Ndugai
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameongoza mamia ya waombolezaji katika kutoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Job…
Serikali yaahidi kuenzi mchango wa hayati Job Ndugai
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Serikali itaendelea kuenzi na kudumisha mchango mkubwa wa kimaendeleo ulioachwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Matukio ya mapokezi mgombea mwenza Zanzibar wa ACT – Wazalendo
Matukio ya Mapokezi ya Mgombea Urais wa Tanzania, Urais wa Zanzibar na Mgombea Mwenza. Oktoba #LindaKura
Tanzania yaandika rekodi mpya, yatinga robo fainali michuano ya CHAN 2024
Timu ya taifa ya Tanzania imeandika rekodi mpya kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika CHAN 2024. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar umefungua njia kwa Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Suleiman. Mabao ya Tanzania…
Trump, Putin kukutana Ijumaa huko Alaska
Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ya Agosti 15 huko Alaska na kujadili namna ya kuvimaliza vita nchini Ukraine. Trump ametoa tangazo hilo lililothibitishwa na ikulu ya Kremlin baada ya kusema kuwa wadau…