JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yasisitiza dhamira yake kuendeleza diplomasia ya maji

Tanzania imesisitiza dhamira yake kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia. Mkurugenzi wa Ubora…

Mipango mbioni kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha hapa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC) imesema kuwa mipango ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha ( IFC) hapa nchini ili kuvutia uwekezaji wa fedha na mitaji…

Ardhi imekwisha umebaki, udongo wa kuzikia

Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Dar es Salaam Biblia ni miongoni mwa vitabu vya kale zaidi vilivyowahi kusomwa na binadamu. Ndani yake kuna hazina kubwa ya maarifa yanayoweza kumsaidia mtu kuelewa maisha, uumbaji na wajibu wa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka. Miongoni…

Vijana Muheza walivyotoa kicheko kwa kamati ya Bunge

*Waziri Nanauka apewa Maua yake *Mali Hai waiheshimisha Muheza Na Byarugaba Innocent,ORMV Ni takribani umbali wa kilometa 510 kwa mwendo wa gari Km 80 kwa saa unafikisha saa 11 njiani kutoka Dodoma Makao Makuu ya Serikali kufika Tanga.Ni safari iliyopambwa…