Author: Jamhuri
BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umefuta usajili wa kampuni 11 za LBL chini ya kifungu 400A cha sheria sura 212 mara baada ya kampuni hizo kufanya shughuli za kibiashara nje…
Urusi yaipongeza Ukraine utayari kumaliza vita
Serikali ya Urusi imeipongeza taarifa ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kuhusu utayari wake wa kuzungumza na Urusi ili kumaliza vita kati ya mataifa hayo mawili. Hata hivyo, Urusi imesema haijajua bado itazungumza na nani kuhusu mchakato huo. Kauli ya…
Waziri Kikwete abainisha mafanikio matano miaka 10 ya WCF
•Asaini Kanuni za Fao la Utengamao ( Rehabilitation Benefits) Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Dk Mpango ataka Afrika kubuni njia bora uendelezaji rasilimali za nishati kukidhi mahitaji
📌 Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengine 📌 Asisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa vizazi vijavyo 📌 Afungua Kongamano na Maonesho ya Petroli kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25) Makamu wa…
Kilwa yaendelea kufurika watalii
📍Meli ya “Le Bougainville yaleta wengine zaidi ya 130. Na Beatus Maganja Meli ya Kifahari ya kitalii ya “Le Bougainville,” imewasili leo Machi 05, 2025 katika Hifadhi ya urithi wa utamaduni wa dunia Magofu ya Kale Kilwa Kisiwani na Songo…