Author: Jamhuri
Uingereza yatangaza ‘muungano’ wa kushirikiana na Ukraine kumaliza vita na kuilinda
Uingereza, Ufaransa, na mataifa mengine yataongoza muungano huu, na watajaribu kuhusisha Marekani ili kupata msaada kwa Ukraine, alisema Starmer. Huu ni baada ya mkutano wa kilele wa viongozi 18, wengi wao wakitoka Ulaya, wakiwemo Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ambaye…
Trump akifanya Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani
Rais Donald Trump ameweka saini agizo linalotangaza Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani, hatua inayobatilisha sera ya awali iliyoanzishwa na Rais Bill Clinton mwaka 2000. Sera hiyo ilihitaji mashirika ya serikali kutoa msaada kwa watu wasiozungumza Kiingereza. Hii ni mara…
Ripoti maalum kuhusu mwenendo wa mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Uhispania
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni siku chache tu tangu ilipotimia miaka 58 ya mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Hispainia. Historia inatueleza kuwa mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi mbili za Tanzania na Uhispania yaliasisiwa…
Papa Francis atoa wito wa amani na kusuluhishwa kwa mizozo
Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki mbili kwa ugonjwa wa maambukizi ya mapafu amewashukuru leo waumini wa kanisa katoliki kote duniani kwa msaada na kumuonesha upendo. Kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini…
Viongozi wa Ulaya wakubaliana kuhusu amani ya Ukraine
Viongozi wa Ulaya wametangaza kuiunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London. Wameahidi kutumia fedha zaidi kwenye usalama na kuunda muungano wa kuyalinda makubaliano yoyote ya amani nchini Ukraine. Mazungumzo hayo, ambayo yaliwaleta Pamoja washirika 18, yalijiri siku mbili…
Nayikole wafurahia miradi ya maendeleo
Wakazi wa kijiji cha Navikole kata ya Chawi, Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara, wameipongeza serikali kwa kuwaletea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye kijiji hicho ikiwemo umeme, zahanati na maji. Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliyofanyika katika kijiji hicho…