Author: Jamhuri
TRA yabuni mbinu za ukusanyaji mapato, wafanyabiashara mtandaoni, winga watakiwa kulipa kodi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imetaja mbinu itakazotumia kuzuia upotevu wa mapato yatokanayo na biashara za mtandaoni ikiwemo kutumia wanunuzi pamoja na mawinga kuwapatia taarifa. Hayo yalisemwa leo Agosti 9, 2025 na Kamishna…
Serikali yanunua tiketi 10,000 kuiona Taifa Stars dhidi ya Madagascar
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amesema kuwa, Serikali imenunua tiketi 10,000 zenye thamani ya Shilingi milioni 20, kwa ajili ya mashabiki kuingia uwanjani kuishangilia Taifa Stars katika mchezo…
TMA yanyakua kombe maonesho ya Nanenane 2025
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA kupitia kundi la ushindani lililohusisha taasis za Serikali upande wa Mawakala na Mamlaka za Serikali nchini, umeifanya…
Watoto wawili wafariki kwa kupigwa na radi
Watoto wawili wamefariki dunia na bibi yao kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha jana katika Wilaya ya Ilemela, jijini Mwanza. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa…
Tanzania kutuma wanamichezo 492, kushiriki mashindano ya FEASSA 2025 nchini Kenya
Jumla ya wanafunzi 492 ambao ni wanamichezo mbalimbali wanatarajia kushiriki mashindano ya michezo ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari kwa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) yanayotarajiwa kuanza Agosti 12, 2025 Kakamega nchini Kenya. Kwa mujibu…
Mgombea NRA achukua fomu Tume
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…