Author: Jamhuri
Wizara ya Mambo ya ndani yaomba Bunge bilioni 340 kwa uwekezaji na maendeleo ya kidiplomasia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imewasilisha ombi la bajeti ya shilingi bilioni 340.53 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele vitano vinavyolenga kuimarisha nafasi ya Tanzania katika anga za…
Waziri Jafo kufungua maonesho ya ‘Tanzania Dental Expo’ Dar ijumaa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Waziri wa Viwanda na Biashara,Dkt.Selemani Jafo kesho anarajiwa kufungua maonesho ya huduma ya kinywa na meno ‘Tanzania Dental Expo’ yatakayofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa siku mbili kuanzia kesho kutwa (Ijumaa). Maonesho…
Rais Samia aongoza mwanzo mpya, CCM kujenga jengo la ghorofa tano kuashiria ukomavu wa chama
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijiandaa kufanya Mkutano wake Mkuu wa Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la…
Waziri Mkenda avalia njuga sakata la madereva kwenda Qatar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf…
Waliofaulu vizuri Samia Scholaship kusomeshwa nje ya nchi – Waziri Mkenda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma. WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adold Mkenda amesema kuwa kupitia SAMIA SCHOLARSHIP Vijana waliofanya mtihani wa kidato cha sita watakapochaguliwa ambao watapenda kusoma nje ya nchi wanatakiwa kukaa mwaka mmoja ambapo wataweka…
Bashe akutana na Waziri wa Kilimo wa Uganda
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kilimo, Viwanda vya Nyama na Uvuvi kutoka Uganda, Kyakulaga Fred Bwino pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Fred Mwesigye, leo Mei 27 jijini Dodoma. Katika Mazungumzo hayo…





