Author: Jamhuri
Mgombea AAFP achukua fomu kuwania kiti cha urais
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…
Wagombea urais ACT – Wazalendo watambulishwa Zanzibar, mamia wajitokeza kuwapokea
Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, akiwa pamoja na viongozi wenzake wa Kitaifa wa chama hicho wakitokea Jijini Dar es Salaam, na kupokelewa na maelfu ya wanachama Unguja. Mapokezi hayo ambayo yamewajumuisha Wagombea wa Nafasi ya Urais…
Viongozi ACT – Wazalendo wapokelewa kwa shangwe Unguja
Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, akiwa pamoja na Viongozi wenzake wa Kitaifa wa Chama hicho, wamewasili Unguja, wakitokea Jijini Dar es Salaam, na kupokelewa na maelfu ya Wanachama, wapenzi, wafuasi na wananchi wa Maeneo mbali mbali…
Wamachinga Dar waip tano Serikali kwa kuwajali, yawahimiza wananchi kushiriki chaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirikisho la Wamachinga Dar es Salaam limeimiza kuwa maamuzi ya wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu kuwa wamejipanga kushiriki kwa kuwa ni haki yao kikatiba. Katibu wa Wamachinga Mkoa wa…