Author: Jamhuri
Dk Mpango awavutia wawekezaji wa Marekani kuja kuwekeza Tanzania kupitia PPP
Na Mwandishi Maalum, New York Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango, ametoa mwito wa kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na wawekezaji binafsi, akisisitiza kuwa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) ni nguzo muhimu ya kufungua fursa…
SUA wamuokoa mtoto wa tembo aliyenasa na mtego Pori la Kilombero
Timu ya wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ikiongozwa na Dkt. Richard Samson, imefanikiwa kuokoa mtoto wa tembo aliyenaswa na mtego kando ya Mto Ruhidgi, katika Pori la Akiba la Kilombero, Wilaya ya Malinyi, Morogoro. Mtego huo,…
PBA yapinga vikali hatua zilizochukua TLS, yasema ni ukiukaji wa haki za wananchi
CHAMA cha Mawakili wa Serikali (PBA) kimepinga vikali hatua ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kutoa maelekezo yanayozuia wanasheria kutotoa msaada wa kisheria kwa wananchi, kufuatia tukio la kushambuliwa kwa Wakili Deogratius Mahinyila na askari Polisi Septemba 15, 2025, alipokuwa…
Rostam Aziz atajwa mfano wa kuigwa kwa wawekezaji wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati mataifa mbali mbali duniani yakitoa kipau mbele kwa wananchi wake kumiliki uchumi kupitia upendeleo maalum kwenye biashara na uwekezaji, Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), imempongeza mfanyabiashara maarufu nchini Rostam…
Dk Samia karibu Tanga, umetwnda mazuri mengi, Oktoba 29 tunarundika kura kwako
Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Mgombea Urais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea na kampeni za kuomba ridhaa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mikoa mbalimbali…
Nishati safi inatekelezwa kwa vitendo Geita
📌Chereko yatajwa na wananchi Banda la REA 📌Majiko ya gesi na majiko banifu yanauzwa kwa bei ya ruzuku Wananchi wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kununua majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku…