JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waomba Jimbo Singida Kaskazini libadilishwe jina kuwa Jimbo la Ilongelo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wadau wa Uchaguzi kutoma Halmashauri ya Wilaya ya Singida weithibitishia Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi juu ya nia yao ya kutaka kubadili jina la Jimbo la Singida Kaskazini kuwa Jimbo la Ilongelo. Mwenyekiti wa…

Wabunge wachachamaaa wakitaka NEMC iwe mamlaka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamecharuka bungeni wakitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), liwe mamlaka ili iwe rahisi kuendesha shughuli zake. Wabunge waliochangia makadirio ya bajeti…

Uholanzi yaadhimisha siku ya Mfalme

Na Lookman Miraji Siku ya mfalme ni siku maarufu sana nchini Uholanzi. Siku hiyo ya wafalme hujulikana kwa jina la “Koningsday” kwa lugha ya kiholanzi na “King’s Day” kwa tafsiri ya lugha ya kiingereza. Siku hii ya wafalme hutambulika kama…