Author: Jamhuri
Othman : Viongozi wa dini wana haki haki ya kuangalia haki, amani na utulivu
Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amesema ni wajibu kwa viongozi wa dini kuangalia haki, utulivu na amani ya kweli, wanayoihitaji Wananchi wote, kwaajili ya Maendeleo ya Taifa zima. Amesema, viongozi hao ndio wenye dhima ya kuhakikisha…
Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi
Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake….
INEC yaondoa fomu za uteuzi wa Wagombea urais
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) Ramadhani Kailima ameongoza watumishi wa Tume hiyo kuondoa fomu za uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ubao wa matangazo…
Rais Samia amewasha umeme vijiji vyote Arusha
📌Vitongoji 936 vimefikiwa na huduma ya umeme Arusha 📌REA yaahidi kufikisha umeme kwa wakati ili kukuza uchumi wa wananchi 📍Arusha Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),…





