JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 48 ya CCM

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA.Amos Makallaamesema Chama Cha Mapinduzi (CCM)kikiwa kinatarajia kuadhimisha miaka 48 tangu kuanzishwa kwake kinatarajia kuwatambulisha Rasmi wagombea wake kwa wanachama katika nafasi ya ngazi ya Urais na…

Serikali kufanya jitihada za kudhibiti madhara ya mmonyoko na kupanuka kwa kingo za mito

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada mbalimbali za kudhibiti madhara ya mmomonyoko na kupanuka kwa kingo za mito. Khamis amesema hayo wakati…

Azma ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika wakati wote – Kapinga

📌 Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme Lushoto 📌 Vijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ni azma ya Serikali kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika na…

INEC yatoa vibali 157 elimu ya mpiga kura

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa vibali 157 kwa asasi za kiraia kwa ajili ya kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu kwa Wapiga kura. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi…