JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mhandisi Saidy: Nishati safi kwa kila mtu inawezekana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia , Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya asilimia 80 wakawa wanatumia nishati safi ya kupikia kwa kuwa Serikali imeweka mipango madhubuti sambamba…

Waandishi watakiwa kuhamaisha ufugaji nyuki

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kutangaza elimu ya ufugaji wa nyuki kwa sababu mwamko wa ufugaji huo bado uko chini. Akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo ya ufugajinyuki yaliyoandaliwa…

Zelensky: Mkutano wa Trump na Putin usaidie kumaliza vita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo kwamba malengo yake juu ya mkutano kati ya Marekani na Urusi kuhusu vita nchini mwake ni kwa Urusi kuacha kuwaua Waukraine na kukubali kusitishwa kwa mapigano. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo…

Her Initiative watoa msaada kwa wasichana Kisarawe

Na Aziza Nagwa, JamhuriMedia, Kisarawe Shirika lisilo la kiserikali linalowasaidia wasichana kujiinua kiuchumi, Her Initiative imewapatia pesa na vifaa wasichana walio nje ya shule katika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, ili waweze kujinufaisha kiuchumi. Akizungumza katika hafla hiyo, Mwakilishi wa…

VETA yajipanga kukuza ubunifu na ujuzi wa ufundi kufikia Dira ya Taifa 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Profesa Sifuni Mchome amesema VETA itaendelea kuhakikisha Watanzania wa ngazi mbalimbali wanapata elimu na mafunzo ya ufundi ili kuwawezesha kujiajiri, kuajiriwa na…

Sekta ya mkonge yapaa, wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WATANZANIA na wawekezaji nchini wametakiwa kujitokeza kuchangamkia fursa zinazotokana na zao la mkonge, baada ya kuongezeka kwa mahitaji ya mbegu, mitambo ya usindikaji na bidhaa zinazotokana na zao hilo. Akizungumza kwenye Maonesho ya Wakulima na…