JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hilo. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya…

Mkuu wa shule ajiua kwa kunywa sumu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Shule ya Sekondari Chambo iliyopo katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Zaharani Patrombeyi (44,) amekufa baada ya kunywa kitu kinachodhaniwa kuwa ni sumu. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo, SACP…

Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan

Watu 54 wameuwawa wakiwa sokoni mjini Omdurman baada ya shambulio lililofanywa na wanamgambo wa RSF siku ya Jumamosi. Kulingana na wahudumu wa afya ambao wameomba kutokutajwa majina kwa sababu za kiusalama, majeruhi wa tukio hilo bado walikuwa wakiendelea kufikishwa katika…

Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa

Mwili wa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Simiyu, Latifa Juma ,17, aliyepoteza maisha kwa kujinyonga kwa kutumia mtandio chumbani kwake umezikwa leo. Tukio hilo limetokea Februari 30, 2025 na kugundulika na mama yake mzazi majira ya…

Majaliwa: Tanzania imejipanga maandalizi CHAN, AFCON

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) na Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON). “Tanzania imejipanga vizuri, kuhakikisha kuwa michuano hii…

Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua mfumo mpya wa Sera ya elimu huku akiweka msisitizo wa Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini. Amesema dhamira ya mabadiliko ya…