JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali kuboresha ufaulu sayansi, hisabati na TEHAMA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inachukua hatua madhubuti kuboresha ufaulu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini. Wizara ilisema kuwa walimu wa masomo hayo wanapatiwa mafunzo…

Rais Samia aja na mpago mahsusi wa kitaifa kuhusu nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mpango Mahsusi wa Kitaifa kuhusu Nishati (National Energy Compact) uliozinduliwa leo unalenga kuiwezeseha Tanzania kuunganisha umeme kwa kaya milioni 8.3 zaidi ifikapo mwaka 2030. Taarifa iliyotolewa…

PPAA mguu sawa kurasimisha matumizi ya moduli Kanda ya Ziwa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA), imewasihi wadau wa Ununuzi wa Umma Mikoa ya Kanda ya Ziwa kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya kuwasilisha na kushughulikia rufaa na malalamiko kwa njia ya kielektroniki katika…

Ufaransa yalaani shambulio la ubalozi wake Kinshasa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noel Barrot amelaani shambulizi dhidi ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Kinshasa na waandamanaji Jumanne asubuhi. “Mashambulizi haya hayakubaliki,” alisema katika chapisho kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akiongeza kwamba waandamanaji “waliwasha moto ambao…

Ikulu ya Marekani imesitisha misaada na mikopo

Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada, mikopo na usaidizi mwingine kutoka Serikali Kuu ya shirikisho, kulingana na taarifa iliyovuja ya Serikali na kuthibitishwa na CBS News. Katika taarifa hiyo, kaimu mkuu wa Ofisi ya Usimamizi na Bajeti (OMB) anatoa…

Yaliyojiri leo Januari 28, 2025 wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika

Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Mara nyingi husemwa kuwa mustakabali wa dunia ni wa Afrika. Kauli hii inahusishwa na idadi kubwa ya vijana Barani Afrika pamoja na utajiri wa rasilimali zake. Hata hivyo, naamini…