Author: Jamhuri
Tanzania kuwa kinara utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa ▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki ▪️Kugharimu Tsh Bilioni 14.3 ▪️Rais Samia atajwa kinara wa mageuzi sekta ya madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…
DED Nyasa akagua miradi yenye thamani ya mil.582,017,569/-
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Nyasa DC Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Khalid Khalif ameendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kuwatembelea wakandarasi kwenye Kandarasi za Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni sehemu ya kuhimiza ukamilishwaji kwa…
Queen Lugembe aingia mbio za kuwania Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya ACT-Wazalendo
Dar es Salaam, Agosti 24, 2025 – Mwanaharakati na kada wa ACT-Wazalendo, Queen Julieth William Lugembe, leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Ubungo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika…
Tudumishe amani, umoja na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 – Rais Sami
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza umuhimu wa kuhakikisha Taifa linaendelea kudumu katika misingi imara iliyowekwa na waasisi wake, ambayo ni haki, amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, akisisitiza kuwa mshikamano na ushirikiano…
Latra yang’ara tuzo Mashirika ya Umma
Dkt. Phillip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amekabidhi tuzo kwa Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kutambua kazi nzuri iliyofanywa katika huduma za udhibiti usafiri ardhini kwa kuzingatia vigezo…
Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi…





