JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

CCM Tabora wakunwa na uteuzi wa Rais Samia, Mwinyi

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani hapa kimeunga mkono uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwapitisha Dkt Samia Suluhu Hassan, Dkt Hussein Mwinyi na Dkt Nchimbi kuwa wagombea Urais kupitia CCM mwaka huu. Pongezi hizo…

Tabora wapongeza kampeni ya msaada wa kisheria

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WANANCHI Mkoani Tabora wamepongeza serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Kampeni ya Huduma za Msaada wa kisheria kwa jamii kwa kuwa inasaidia kutatua kero zao. Wametoa pongezi…

Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa avutiwa na mkakati wa Serikali wa utafiti wa madini nchini

▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini ▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030 ▪️Apongeza mpango wa serikali wa kuongeza thamani madini mkakati nadani ya nchi 📍Dar es salaam Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa…

Ubalozi wa India nchini waadhimisha miaka 76 ya Jamhuri kwa Taifa la India

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati ambao Tanzania ipo katika wakati wa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano mkuu wa Nishati Afrika ulioanza leo hii jijini Dar es Salaam , Ubalozi wa India nchini umeadhimisha sherehe za 76 za…

Rais Dk Samia ameridhia Mji Kibaha kuupandisha hadhi kuwa Manispaa – Mchengerwa

Na Mwamvua Mwinyi, JahuriMedia, Pwani Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji wa Kibaha kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Mchengerwa ameeleza kuwa taratibu za mwisho zinafanywa, na…