Author: Jamhuri
Mpaka wa Kongo-Rwanda wafungwa baada ya M23 kuiteka Goma
Milipuko ya mizinga imeitikisa Goma Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji kundi la waasi la M23 kuingia mjini humo. Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu mgogoro unaokaribia kutokea. Mpaka kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Ukraine yaishambulia Urusi kwa droni 121
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema usiku wa kuamkia Ijumaa imefanikiwa kudhibiti mashumbulizi ya droni za Ukraine ambapo imezidungua na kuziteketeza droni 121 ambazo zilikusudiwa kuilenga mikoa 13, ikiwemo Moscow. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema usiku wa kuamkia Ijumaa…
CCM Tabora wakunwa na uteuzi wa Rais Samia, Mwinyi
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani hapa kimeunga mkono uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwapitisha Dkt Samia Suluhu Hassan, Dkt Hussein Mwinyi na Dkt Nchimbi kuwa wagombea Urais kupitia CCM mwaka huu. Pongezi hizo…
Tabora wapongeza kampeni ya msaada wa kisheria
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WANANCHI Mkoani Tabora wamepongeza serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Kampeni ya Huduma za Msaada wa kisheria kwa jamii kwa kuwa inasaidia kutatua kero zao. Wametoa pongezi…
Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa avutiwa na mkakati wa Serikali wa utafiti wa madini nchini
▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini ▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030 ▪️Apongeza mpango wa serikali wa kuongeza thamani madini mkakati nadani ya nchi 📍Dar es salaam Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa…
Ubalozi wa India nchini waadhimisha miaka 76 ya Jamhuri kwa Taifa la India
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati ambao Tanzania ipo katika wakati wa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano mkuu wa Nishati Afrika ulioanza leo hii jijini Dar es Salaam , Ubalozi wa India nchini umeadhimisha sherehe za 76 za…