JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

World Vegetable Center kuleta mageuzi sekta ya kilimo cha mbogamboga na matunda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kituo cha Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika (World Vegetable Center) kilichopo Tengeru, Arusha, kimesema kuwa kitaendelea kuongoza juhudi za kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo cha…

UWT Tabora yataka washindi kura za maoni kuwa watulivu

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WANAWAKE waliofanya vizuri kwenye mchakato wa kura za maoni za udiwani na ubunge wa viti maalumu kupitia Umoja wa Wanawake (UWT) wametakiwa kuwa watulivu kwa kuwa uteuzi wa mwisho utafanywa na vikao vya ngazi za…

Kampeni uanzishwaji madarasa ya “EWW’ yazinduliwa

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TAASISI ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) imezindua Kampeni ya uanzishaji na uimarishaji madarasa ya kisomo cha Elimu ya Watu Wazima (EWW) ambayo itaanza kutekelezwa katika halmashauri na Mikoa yote hapa nchini. Hafla ya uzinduzi…

Dk Jingu aitaka bodi ya mitihani vyuo vya Maendeleo ya Jamii kuzingatia weledi

Na WMJJWM – Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu ameitaka Bodi ya Mitihani ya Vyuo vya Maendeleo na Maendeleo ya Jamii ufundi kuhakikisha weledi unazingatiwa katika mitihani ya wanafunzi…

Majaliwa : Tuhakikishe vijana wanapata mafunzo ya ufundi stadi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kote nchini kuhakikisha wanawapeleka vijana wao kupata mafunzo ya ufundi stadi yanayoratibiwa na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuwawezesha kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri…

Serikali ya Zanzibar yaidhinisha huduma za safari za mtandao

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIK hatua ya kihistoria ya kisera, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeidhinisha rasmi uzinduzi wa huduma za usafiri wa mtandaoni visiwani humo, hatua iliyowezesha kampuni ya Bolt kuanza rasmi shughuli zake wiki…