Author: Jamhuri
Samia kuwasili Ruvuma kesho kwa siku mbili
Na Mwandishi Jamhuri Medii-Songea Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan Septemba 21,2025 atawasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya mikutano ya kampeni. Rais Samia anawasili hapa baada ya kukamilisha mikutano kama hiyo mjini Zanzibar. Taarifa zinasema Septemba…
Samia: Watanzania msikubali kuchokozeka
Na Kulwa Karedia Jamhuri Media, Pemba MGOMBEA urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kutokubali kuchokozwa. Amesema wakichokozeka watahatarisha amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi jambo ambalo halina tija Dk. Samia ambaye pia ni Amiri…
Chande: Kiti cha dereva hakikaliwi hata gari likijaa, twendeni na Samia
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Mgombea ubunge Jimbo la Kojani, Hamad Chande amesema mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Samia Suluhu Hassan amewafanyia mambo makubwa yakiwamo ya ujenzi wa Uwanja wa…
Mbarawa Pemba inakwenda kufunga kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Uchukuzi na mgombea ubunge Jimbo la Mkoani, Makame Mbarawa amesema uwanja wa ndege wa Pemba unajengwa na kuwa wa kimataifa. Mbarawa ametoa kauli hiyo septemba 20, 2025 alipopewa nafasi ya kusamilia maelfu ya…
Abdullah awasihi wananchi Pemba ‘wasichokozeke’
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah na mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani amesema kipindi hiki wananchi wanapaswa kuendelea kudumisha amani ili wampe nafasi mgombea urais wa…
Aboud atuma salamu kiaina
Na Mwandishi wetu, Jamhuri Media, Pemba Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mratibu wa Kampeni Kanda ya Pemba, Mohamed Aboud amesema Watanzania wa pande zote mbili sasa wanaishi kwa amani na mshikamno mkubwa. Amesema hayo Septemba 20,2025 alipopewa nafasi…