Author: Jamhuri
Akamatwa kwa kung’oa bendera za CUF Kondoa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Kondoa Mtu mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma baada ya kukamatwa akiing’oa bendera na mabango ya Chama cha Wananchi (CUF) . Hayo yamejiri wakati wa mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama…
MOIL: Tunaunga mkono kwa vitendo mkakati wa Taifa wa nishati safi
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI wa MOIL, Altaf Mansoor, ameishukuru Wizara ya Nishati kwa fursa ya kuandaa Kongamano na Maonesho ya Petroli Afrika Mashariki (EAPCE’25), ambalo limefanyika kwa siku tatu. Akizungumza katika kongamano hilo, Mansoor amesema kuwa…
Mhandisi Sanga akemea tabia ya baadhi ya makabila kusema ardhi ni mali yao
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mhandisi Anthony Sanga amekemea tabia ya baadhi ya watu kuita ardhi ya eneo fulani ni mali ya kabila fulani na badala yake amewakumbusha kuwa sera ya ardhi inatamka kuwa mali…
Wananchi zaidi ya elfu moja wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid Arusha
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Wananchi zaidi ya elfu moja wamefikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid iliyoanza March 1 mwaka huu Jijini Arusha huku idadi kubwa ikitajwa kuwa ni wanaume. Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kampeni hiyo…
Umeme ni nishati nafuu zaidi jikoni zaidi : Gissima
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema umeme ni nishati nafuu zaidi kupikia na kuwahimiza Wanzania kutumia fursa ya uwepo wa umeme katika kila Kijiji na kutumia…
Wanawake wa jamii ya Kihadzabe wapaza sauti Siku ya Wanawake duniani
Na Maipac Team- [email protected] Wanawake wa Jamii ya wahadzabe wanaoishi katika eneo la Eyasi wilayani Karatu Mkoani Arusha wamepaza sauti katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa kumuomba Rais Samia Suluhu asikilize kilio chao. Wakizungumza katika mdalaho wa siku…