Author: Jamhuri
Serikali kuendelea kutunga sera rafiki kuwezesha ushiriki wa sekta binafsi katika nishati safi ya kupikia
📌 Rais Dkt.Samia aitaka Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ataka umeme Vijijini uwe zaidi ya kuwasha taa na kuchaji 📌 Kapinga asema ifikapo 2030 Vitongoji vyote vitakuwa vimefikiwa na umeme Rais wa Jamhuri…
Watakiwa kutumia kalamu zao kwenye elimu ya tabianchi na mazingira
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar e Salaam Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na Jinsia na Mabadiliko ya Tabia nchi, (Wated) limewataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabia nchi na mazingira yanayoendelea katika…
Serikali yavuna bilioni 183 masoko ya madini
• Ni mwaka wa fedha 2023/2024• Masoko ya madini yafikia 43, vituo 109• Wanolewa matumizi sahihi ya XRF WAKATI masoko ya madini yakifikia 43, mchango wa masoko hayo umeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 8 mwaka 2018/ 2019 hadi Shilingi Bilioni 183…
Balozi Nchimbi awasili Namibia msibani kwa Sam Nujoma
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi,…
Hafla ya uzinduzi usambazaji mitungi ya gesi
Matukio mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga. Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt….
Lina PG Tour msimu wa pili yaanza kulindima leo, wachezaji 122 wajitokeza kushiriki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa pili yanayoanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…