JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Israel yaanza operesheni ya kudhibiti Gaza City

JESHI la Israel limeanzisha mashambulizi yake ya ardhini yaliyokuwa yakisubiriwa katika Jiji la Gaza, baada ya mashambulizi makubwa ya angani usiku wa kuamkia leo katika mitaa kadhaa ya jiji hilo. Msemaji wa jeshi hilo amesema kufuatia maagizo ya uongozi wa…

Trump aidhinisha msaada wa silaha wa Ukraine

Vifurushi vya kwanza vya msaada wa silaha za Marekani kwa utawala wa Trump kwa Ukraine vimeidhinishwa na vinaweza kusafirishwa hivi karibuni wakati Washington inaanza tena kutuma silaha Kyiv, Reuters inaripoti. Wakati huu hatua hiyo inafanyika chini ya makubaliano mapya ya…

Doyo: Nikichaguliwa kuwa rais majukumu ya kwanza ni kupitia upya mikataba ya madini

Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, ameendelea na ziara zake za kampeni zinazofanyika kwa mfumo wa kufikia na kuwafata wapiga kura popote walipo, kwa mtindo wa kampeni za kijiji kwa kijiji na kata kwa kata. Akiwa…

Pigeni kura Oktoba 29, mtudai maendeleo – Dk Biteko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bukombe Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaeleza wananchi wa Bukombe kuwa maendeleo yaliyopatikana jimboni humo yametokana na upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan kwao, hivyo wajitokeze…

Hatumchagui Dk Samia kumpa zawadi, anaweza kazi yake – Wasira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Makete CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uamuzi wa kumchagua Dk. Samia Suluhu Hassan awanie kiti cha urais kupitia CCM siyo kumpa zawadi bali ni kutokana na uwezo aliouonesha kuiongoza nchi kwa mafanikio makubwa. Kimesema Dk. Samia…

CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalishwa zaidi ya ajira 500

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) wamezindua rasmi programu ya Ajira Ye2 itakayowawezesha vijana na wanawake zaidi ya 500 kupata ajira na kukuza biashara zao…