JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Viongozi waandamizi sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wakutana Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha VIONGOZI waandamizi wa sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wamekutana jijini Arusha kwa siku tano kwenye programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Afrika ambayo yamelenga kuwapa ujuzi, mbinu za…

Dk Biteko apata kura za ndio 7441

Idadi ya wapiga kura Jimbo la Bukombe – Geita ni 7, 845 Wajumbe waliohudhuria 7456Wajumbe wasiohudhuria 389Idadi ya kura zilizopigwa 7456Idadi ya kura zilizoharibika 15Idadi ya kura halali 7441 ✅ KURA ZA NDIO 7441✅ KURA ZA HAPANA 00 WASTANI WA…

Tunapaswa kujenga ukanda wa SADC usio na rushwa – Majaliwa

Asisitiza kuendelea kusimamiwa kwa Itifaki ya SADC dhidi ya Rushwa. Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakuu wa Taasisi za Kupambana na Rushwa wa Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuendelea kusimamia kikamilifu…

Wananchi wakaribishwa banda la Wizara ya Nishati Nanenane Dodoma

📌 Kufahamu fursa na miradi inayoendelea kutekelezwa Wizara ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Fredrick Marwa, Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati…

Mkutano wa 45 wa wakuu wa nchi wa SADC waanza Madagascar na kikao cha kujadili mpango wa maendeleo

Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa…