JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Airtel Tanzania yazindua maduka 17 ya Smart Shops Dar, kukuza huduma za kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam. Maduka haya ni sehemu ya mtandao wa maduka 31 nchini kote, ukiwa na…

Kamati ya Bunge TAMISEMI yataka fedha kuongezwa kukamilisha barabara za Pichandege -SGR na Kongowe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Serikali kuongeza fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Pichandege–Sofu–Bokomnemela kutokana na umuhimu wake katika kurahisisha usafiri wa wananchi kuelekea Stesheni ya SGR….

Tanzania yashiriki mkutano wa Umoja wa Afrika masuala ya wanawake na jinsia Mkutano wa CSW 70

Na WMJJWM-New York Marekani Tanzania imeshiriki Mkutano wa masuala ya Jinsia na Wanawake wa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kando ya Mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani unaendelea jijini New York nchini Marekani kwa lengo la…

CRDB yawataka wananchi kuchanja kidigitali ili kushinda safari ya kungalia kombe la Dunia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya CRDB imewataka wananchi kuchanja kidital ili kushinda safari ya kwenda kungalia kombe la Dunia Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa wateja wadogo na wakati Boniventure Paul ,alipokuwa akizindua kampeni ya…

Mbarawa aipongeza TASAC

N Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limepongezwa kwa mafanikio na kuwaleta wadau mbalimbali pamoja na watoto yatima na kuwapatia Iftar . Akizungumza katika hafra ya Iftar na dua iliyoandaliwa na TASAC kwenye…

Wanawake watatu wapata fursa ya kupandikizwa mimba bure kituo cha Kairuki (KGIVF)

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE watatu wamebahatika kupata fursa ya kupandikiza mimba bure katika kituo cha kupandikiza mimba cha Kairuki Green IVF (KGIVF), Kilichoko Bunju A Mianzini jijini Dar es Salaam. Walipata fursa hiyo jana jioni wakati…