Author: Jamhuri
Tumepata maarifa ya kutosha kutoka Mahakama ya Tanzania- Msajili Mkuu Kenya
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Msajili Mkuu wa Mahakama ya Kenya, Mhe. Winifrida Mokaya ameushukuru Uongozi wa Mahakama ya Tanzania kwa kukubali ombi la Mahakama hiyo kuja kujifunza na kusema kwamba wamepata maarifa ya kutosha yatakayowawezesha kutekeleza nchini mwao ili kuboresha…
Mbeki atembelea eneo la Mazimbu Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia, Morogoro Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki ametembelea eneo la kihistoria la Mazimbu, lililoko mkoani Morogoro ikiwa ni katika Maadhimisho ya Siku ya Afrika ambayo huadhimishwa Mei 25 kila mwaka. Ziara hiyo maalum imebeba…
Mbunge Mavunde akabidhi matofali 41,000, saruji tani 102 Dodoma Jiji
▪️Ni kuunga mkono miradi inayoibuliwa na wananchi kwa kata zote 41 ▪️Jiji la Dodoma latenga Bilioni 6 kuunga mkono miradi inayoibuliwa na wananchi ▪️Vifaa kulenga kuboresha sekta ya Afya na Elimu ▪️Rais Samia apongezwa kwa maendeleo makubwa Dodoma Jiji Na…
CRDB na Taasisi ya Aga Khan waingia makubaliano kurahisisha ulipaji wa ada
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imeingia rasmi kati8ka makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Aga Khan, makubaliano yanayolenga kurahisisha ulipaji wa ada na malipo mengine kwa shule zinazoendeshwa na taasisi hiyo hapa nchini. Makubaliano hayo…
Wiki ya Azaki kufanyika Juni 2- 6 Arusha
Na Lookman Miraji Asasi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na masuala ya Misingi ya Jamii ya Kiraia (FCS) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mashirika ya kimataifa imetangaza ujio wa wiki ya azaki inayotarajiwa kufanyika jijini Arusha mapema mwezi Juni. Wiki…
Benki ya CRDB yatoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA juhudi za kuwainua wajasiriamali nchini, Benki ya CRDB kupitia programu yake ya IMBEJU, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, imeendelea kutoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali ili kuwajengea…





