JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Samia Infrastructure Bond kuwezesha qakandarasi wazawa kitekeleza miradi kwa wakati

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakandarasi wazawa nchini sasa wanapata unafuu mkubwa wa mtaji kupitia mpango mpya wa hatifungani maalum ya miundombinu iliyoanzishwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB, kwa lengo la kuharakisha…

Sagaff ajitosa kumrithi Mavunde Dodoma Mjini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mhitimu wa Shahada ya Umahiri ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Ahmed Sagaff amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo la Dodoma Mjini kwenye…

Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kusini Unguja.

Serikali ya Awamu ya Sita yamwaga Trilioni 1.1 Kagera, miradi 28 ya kimkakati yatekelezwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Kagera, ambapo zaidi ya Shilingi trilioni 1.131 zimetolewa kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025. Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajjat Fatma Mwassa, amesema fedha…

Wanajeshi DRC wadungua ndege ya misaada ya kibinadamu Kivu ya kusini

Wanajeshi wa DRC wamedungua ndege ya kusafirisha misaada ya kibinadam katika Mkoa wa Kivu ya Kusini Ndege hiyo inaripotiwa kuwa ilikuwa ikielekea eneo la Minembwe kusafirisha dawa na chakula kwawaadhiriwa wa vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC. Vugu vugu la AFC…

Zaidi ya watu milioni 14 wanaweza kufa kwa kukosa misaada

ZAIDI ya watu milioni 14 wanaoishi kwenye mazingira magumu zaidi duniani huenda wakafariki baada ya utawala wa Rais Donald Trump kupunguza misaada. Utafiti uliochapishwa leo na Jarida la tiba la Lancet unakadiria kuwa miongoni mwa watu hao, theluthi moja ni…