Author: Jamhuri
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia l, Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) leo imeendesha semina juu ya ujumuishaji wa masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia huku kundi la wanawake likitajwa kuathiriwa zaidi na ukiukaji wa…
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa (Mb), ameiagiza Bodi mpya ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuhakikisha inasimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini….
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Na Happy Lazaro, JamhuriMesia, Arusha Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha Ilvin Mugeta amesema kuwa taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao Ili kurudi katika misingi ya…
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award inathibitisha kuwa dunia imetambua…
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
📌 Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja 📌 Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele 📌 PURA, REA, EWURA zang’ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya Nishati Naibu…