Author: Jamhuri
Polisi kufanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo
Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji. Tukio la kwanza ni la kifo cha Dickson Tadeus Joseph, mkazi wa Rebu Senta Wilayani Tarime kilichotokea tarehe 1.1.2025 huko katika…
Kiteto wajiandaa kupokea mpango wa bima ya afya kwa wote
Na Mwandishi Wetu, Kiteto Kishindo kimeanza tayari kwa mapokeo na utayari wa Wilaya ya Kiteto katika mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kufuatia Kikao Maalum cha Kamati ya Afya ya Msingi (PHC) ngazi ya Wilaya kilichoketi Mjini Kibaya (Kiteto)…
TANAPA yafanya makubwa Zanzibar, Makamu wa Pili apongeza juhudi zake
Na Jacob Kasiri, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amelipongeza na kusema kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limepiga hatua makubwa kuja kushiriki maonesho hayo ya kimataifa ya biashara…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afungua Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara ya Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla,amefungua rasmi Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 62 ya Zanzibar yanayiendelea katika viunga vya maonyesho vya Nyamanzi, Fumba mjini Unguja. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa…
Raia wa China mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na fedha haramu zaidi ya bilioni 2/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imefanikiwa kukamata raia wa China wakiwa na fedha haramu zaidi ya Shilingi bilioni mbili, katika operesheni maalum iliyohusisha vyombo mbalimbali vya uchunguzi. Akizungumza…
Simbachawene anadi mabadiliko makubwa uhamiaji
Mabadiliko Makubwa Uhamiaji Simbachawene apendekeza wasomee utalii Agusia kigezo cha elimu ili uajiriwe Uhamiaji Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imedhamiria kuiboresha Idara ya uhamiaji ikiwa ni mpango mkakati wa kuendelea kuboresha sekta ya utalii ambayo…





