JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Awamu ya pili uboreshaji, uwekaji wazi wa dafatri la wapiga kura kuanza mei

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 na kukamilika tarehe 04 Julai,…

KilupiI: Ataka kura za maoni zisiwagawe wanaCCM

Na Is-haka Omar,Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar  Omar Ibrahim Kilupi,amesema zoezi la kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi lisiwagawe wanachama badala yake wawaunge mkono wagombea watakaopitishwa na vikao vya maamuzi.  Ushauri huo…

Dk Mpango afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa India

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya India Mhe. Sanjay Seth, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katika Mazungumzo hayo, Makamu…

ATC Wazalendo : Malengo yetu hayawezi kutimia bila kushriki na kushinda chaguzi

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amefungua mafunzo ya viongozi wa majimbo ya Kanda ya Kati mjini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo Aprili 12, 2025 jijini humo, Ado amewaeleza viongozi wa majimbo yote 25 ya mikoa ya Dodoma, Manyara…

Tutaendelea kudhibiti uhalifu wa kifedha – Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu wa kifedha na imejidhatiti katika kudhibiti hali hiyo kwa viwango vya kimataifa…

Viongozi wa dunia walaani shambulio la Urusi Ukraine

VIONGOZI wa dunia wamelaani shambulizi la makombora la Uris dhidi ya Ukraine siku ya Jumapili, moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika miezi kadhaa, huku Rais wa Marekani Donald Trump akiliita “jambo baya” na “kosa.” Viongozi wa dunia wamelaani vikali Urusi…