JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Biteko aomba kura ya ndiyo kwa wajumbe Bukombe

Mbunge wa Jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake, Dkt. Doto Mashaka Biteko ambaye ameomba tena ridhaa ya kutetea kiti hicho, ameeleza furaha na shukrani aliyonayo kwa Wananchi wa Bukombe kufuatia ushirikiano waliompa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. @biteko Dkt….

NIRC yaja na Teknolojia Mpya za Umwagiliji Nane Nane Dodoma, 2025

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imewasilisha teknolojia mpya za kisasa za umwagiliaji katika kijiji cha Mitambo kwenye maonyesho ya nanenane Dodoma. Teknolojia hizo ni pamoja na mitambo ya umwagiliaji kwa njia ya mvua (CENTER…

Waziri Mkuu akutana na Rais wa Afreximbank

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais Mteule na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Biashara ya Afrika (Afreximbank), Dk George Elombi na kuainisha maeneo zaidi ya uwekezaji Tanzania. Majaliwa amesema anaamini kuwa katika kipindi…

JKCL kuanza mchakato wa upandikisaji wa moyo

Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza mchakato wa kuanzisha huduma ya upandikizaji wa moyo inayotarajiwa kukamilika baada ya miaka mitano na kuanza kutoa huduma hiyo. Kukamilika kwa mchakato huo kunatarajiwa kuendelea kuiweka Tanzania…

Rais Samia aipa neema miradi ya kuzalisha umeme Iringa

*Atoa zaidi ya bilioni 15 mradi wa Mwenga Hydro Ltd Mwenga Hydro Ltd yaunganisha wateja 8,000 huduma ya umemel Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15 kwenye mradi wa…