Author: Jamhuri
Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni ya 300
………………………… OPENING ADDRESS BY HER EXCELLENCY DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DURING THE AFRICA HEADS OF STATE ENERGY SUMMIT, DAR ES SALAAM, 28TH JANUARY, 2025 (ENGLISH AND KISWAHILI) On behalf of the peoples and…
Chuo cha Furahika champongeza Rais Dk Samia kuithamini elimu ya amali
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es slSalaam KAIMU Mkuu wa Chuo Cha Ufundi Cha Veta Furahika , Dk David Msuya, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa kuithamini elimi ya amali ambayo huendana na…
Rais Samia : Matumizi ya kuni na mkaa ni zaidi ya asilimia 90
Waafrika wanategemea sana matumizi ya kuni hivyo hatuwezi kupuuza madhara pamoja na gharama kubwa ya kuni na mkaa kwa ajili ya ustawi wa wanawake na wasichana. Hayo yamebainishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan huku…
Ukosefu wa umeme wa kutosha hupunguza Pato la Taifa -AFDB
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salam Ukosekanaji wa umeme wa kutosha hupunguza pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 2 hadi 4 kwa kila mwaka.Upatikanaji wa umeme ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi wa Afrika. Hayo yameelezwa na Rais wa…
AfDB yamsifu Samia nishati safi, umeme
BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika. Pia, AfDB imesifu juhudi za Serikali ya Tanzania kusambaza umeme katika vijiji vyote nchini. Rais wa AfDB, Akinwumi Adesina alitoa…