JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Fisi waharibifu wazidi kudhibitiwa Simiyu, Kongwa

Na Sixmud Begashe, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo…

Poland yaonesha nia kushiriki ujenzi wa SGR

Na Benny Mwaipaja, Warsaw-Poland Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa kuonesha nia ya kudhamini upatikanaji wa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha 3 na…

Dk Biteko ataka wananchi wapewe majibu ya huduma kwa haraka na haki

* Aipongeza EWURA kwa taarifa yenye mchango muhimu kuimarisha sekta ya nishati  Vyombo vya moto vinavyotumia gesi vyaongezeka kufikia 7,000  Mahitaji ya umeme kufikia megawati 8,055 mwaka 2035  Upatikanaji wa mafuta waendelea kuimarika nchini  TANESCO yaendelea kuimarika na kupata faida Na…

Rais Samia aipa tano Simba kufuzu nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Simba SC kwa kufuzu Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa…