JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Dk Samia ameridhia Mji Kibaha kuupandisha hadhi kuwa Manispaa – Mchengerwa

Na Mwamvua Mwinyi, JahuriMedia, Pwani Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji wa Kibaha kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Mchengerwa ameeleza kuwa taratibu za mwisho zinafanywa, na…

Wizara ya Katiba na Sheria yatoa mafunzo ya uraia, utawala bora Mtwara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mtwara Ikiwa ni Wiki ya Sheria nchini, Wizara ya Katiba na Sheria imetoa Mafunzo ya Elimu ya Uraia na utawala Bora kwa viongozi na Watendaji wa Kata kwenye Halmashauri ya Mtwara vijijini na Mikindani. Akizungumza wakati akifungua mafunzo…

Mkutano wa Nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika

📌Dkt. Biteko asema utachochea utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Nishati 📌Ahamasisha uwekezaji katika Sekta ya Nishati 📌 WB, AfDB zampongeza Rais Samia kuwa Kinara Sekta ya Nishati 📌Lengo la Tanzania kuzalisha megawati 4,000 za umeme 📌Nishati safi ya kupikia…