Author: Jamhuri
Ilani ya Uchaguzi ya CCM imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kulijengea mazingira mazuri – Wasira
Na Mwandishi Weti, JamhuriMedia, Iringa MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025-2030 imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kuhakikisha inalijengea mazingira mazuri ya kuliinua kiuchumi. Amesema moja ya maeneo…
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yasisitiza uhifadhi wa mto Mara
📍 Butiama, Mara Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imehimiza kuhusu uhifadhi wa mto Mara ili Kuuwezesha kudumu na kuwa endelevu Hayo yamejiri wakati wataalamu wa Tume wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Mara, katika Maadhimisho ya Siku…
Kigogo ACT – Wazalendo Kigoma atimkia CCM
Na Kulwa Karedia,Jamhuri lMedia, Kigoma Mratibu wa Kanda Chama cha ACT Wazalendo, Said Rashid, ametangaza rasmi kuondoka na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema amefikia uamuzi huo baada ya kuvutiwa na utendaji wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan….
Manispaa ya Mji Kibaha kufungua shule mpya tatu za sekondari -Dk Shemwelekwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MANISPAA ya Mji Kibaha, mkoani Pwani Pwani, imejipanga kufungua shule mpya tatu za sekondari na kununua madawati 2,000 ikiwa ni miongoni mwa maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2026. Mkurugenzi wa Manispaa…
Jumuiya ya Wazazi yaeleza sababu Samia kuchaguliwa
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media-Kigoma Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Taifa imeleeza sababu za mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan kushinda uchaguzi mkuu ujao. Imesema sababu kubwa ni maendeleo makubwa yanayoonekana maeneo mbalimbali. Akizungumza wakati wa…
Serukamba: Kigoma tumchague Samia
Na Mwandishi Jamhuri Media, Kigoma Mgombea bunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba, ametoa wito kwa wananchi wa Kigoma kumchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Amesema hatua hiyo inatokana na kumpa kura Rais Samia kupeleka maendeleo…