Tanzania ya kwanza kusaini mkataba wa kituo cha huduma ya dharura cha maafa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dodoma Tanzania imekuwa nchi ya kwanza miongoni mwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC, kusaini mkataba wa kuanzishwa kituo cha huduma za kibinadamu na oparesheni za dharura za kanda. Akizungumza mapema hii leo Februari 23, 2023 wakati wa hafla ya utiaji Saini iliyofanyika Jijini Dodoma Waziri wa…