JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wawili wafariki kwa mvua Moro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu wawili wanaume wamefariki dunia kwa nyakati tofauti kutokana na athari za maji yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Morogoro. Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Alex Mkama amethibitisha Janauri…

Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Kiasi cha Shilingi Milioni 466 zinatarajiwa kutolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu kama mkopo wa asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia. Akikabidhi hundi kwa vikundi vya wanufaika wa mkopo…

Wasira : CCM haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na CHADEMA lenye lengo la kuvunja amani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na Chama cha Demokrasia na Maenddeleo (CHADEMA) lenye lengo la kuvunja amani, umoja na mshikamano wa taifa. Amesema…

Serikali yaridhishwa na ujenzi wa barabara za Mtili- Ifwagi na Wenda Mgama

Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Iringa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili – Ifwagi (Km. 14) na Wenda – Mgama (Km….

Uzinduzi sera ya elimu waahirishwa hadi Februari 2025

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Aldof Mkenda, ametangaza kwamba mkutano wa uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, sasa utafanyika Februari 1, 2025, badala ya Januari 31, 2025,…