Jamhuri

Majaliwa:Jiridhisheni na miradi ilingane na thamani ya fedha iliyotolewa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanya kazi kubwa ya kuhakikisha inatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi, hivyo ni jukumu la viongozi kuikagua na kujiridhisha kama utekelezaji wake unafanyika kwa viwango vilivyokusudiwa na unalingana na thamani halisi ya fedha iliyotolewa. Ameyasema hayo jana wakati akizungumza na wananchi katika eneo la Kakozi…

Read More

Mvua kubwa ya mawe yaacha vilio Tabora

…………………………………………… Mvua kubwa ya upepo iliyoambatana na mawe imeharibu zaidi ya ekari 15 kati ya 75 za zao la Tumbaku zilizolimwa na kusababisha hasara kubwa kwa baadhi ya wakulima wa Chama cha Msingi cha Ushirika wa Wakulima wa Tumbaku Ngulu, kilichopo kata ya Chabutwa, kijiji cha kipanga Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora. Wakizungumzia tukio hilo…

Read More

Majaliwa:AMCOS Mbozi kuchunguzwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itafanya uchunguzi kwa vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) wilayani mbozi mkoani Songwe na watakaobainika kuhusika na ubadhirifu wowote watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Mheshimiwa Majaliwa ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge wa Jimbo la Mbozi, George Mwanisongole kuzilalamikia AMCOS za wilaya hiyo kuwanyonya wakulima wa kahawa na…

Read More