Author: Jamhuri
Bodi ya TMA yakagua utendajikazi vituo vya rada ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imefanya ziara ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa Mamlaka katika kituo cha Rada ya Hali ya Hewa, Bangulo, Pugu na Ofisi za TMA…
Balozi Kambanga awakaribisha wajumbe wa Tanzania nchini Rwanda
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda, Mhe. Dkt. Habib Kambanga, amekutana na kuukaribisha rasmi ujumbe wa Tanzania uliowasili jijini Kigali kushiriki Mkutano wa 16 wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na…
Tanzania yaendelea kuongoza kudumisha usalama na ushirikiano wa kisiasa SADC
Waziri wakati Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema Tanzania imeendelea kuongoza juhudi za kudumisha amani, usalama na ushirikiano wa kisiasa katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ikiwa Mwenyekiti…
JK kinara maandalizi ya kongamano la TICAD 9 nchini Japan
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza katika Kongamano Maalumu kuhusu Maendeleo, Usalama wa Chakula na Uchumi Endelevu wa Bluu barani Afrika lililofanyika tarehe 23 – 24, Julai 2025 katika mji wa Hakone, Japan. Kongamano hilo lililoandaliwa kwa pamoja na…
Ujenzi wa saraja la mto Itembe, Meatu wafikia asilimia 85
Na Berensi China, JamhuriMedia, Meatu Ujenzi wa daraja kubwa la Mto Itembe, linalounganisha Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu na Mkalama mkoani Singida, umefikia asilimia 85 na umeleta faraja kwa wananchi walioteseka kwa muda mrefu kutokana na changamoto za usafiri hasa…
Wakandarasi Mtumba wajikuta Kitanzini, Lukuvi atoa ukomo wa kukamilisha ujenzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anaye shughulikia Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wanaochelewesha kukamilisha ujenzi wa majengo ya Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba, akisisitiza kuwa fedha zote…





