Author: Jamhuri
Chana ateta na sekretariet ya Mkataba wa Lusaka wa kukabiliana na ujangili
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Sekretarieti ya Mkataba wa Kikanda wa Lusaka (Lusaka Agreement Taskforce-LATF) wa kukabiliana na ujangili na biashara…
Tanzania na UNODC kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na uhalifu wa mazingira
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), imejipanga kuendelea kuimarisha ushirikiano katika…
Mkesha Maalum wa kuliombea Taifa kufanyika Februari 28, mwaka huu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuelekea uchaguzi Mkuu mwaka huu, waumini wa Madhehebu mbalimbali nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika Mkesha Maalum wa kuombea taifa na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…
Waziri Mavunde apiga marufuku wageni kuingia kwenye leseni za uchimbaji mdogo
▪️Awataka wenye leseni kufuata taratibu za kisheria za msaada wa kiufund ▪️Serikali kutunga kanuni za kuratibu wageni kwenye Leseni ndogo ▪️Awataka RMO kufanya ukaguzi katika maeneo yao ▪️Awaonya wachimbaji wanaoingiza wageni kinyemela 📍Morogoro Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amepiga…
Kamati ya kuchunguza wafanyabiashara wageni Kariakoo yafikia pazuri
…Yaaendelea kuwahoji wafanyabiashara Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni maeneo ya Kariakoo imefikia asilimia 50 ya uchunguzi wake na imeahidi kukabidhi ripoti hiyo Machi…





