Serikali yatangaza kupeleka aina 10 za bidhaa soko huru Afrika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetangaza kuwa kuanzia Julai Mosi mwaka huu itaanza kupeleka aina 10 za bidhaa katika Soko la Huru la Biashara Afrika ambalo Tanzania ni mwanachama. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk.Ashatu Kijaji wakati akizungumza na wanachama wa Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI)….