Author: Jamhuri
Tunaweza kuzuia asilimia 80 ya vifo nchini tukibadili mtindo wa maisha – Dk Biteko
📌 Asisitiza kuhusu mazoezi ya mwili ili kujikinga na maradhi yasiyoambukiza 📌 Apongeza NBC Dodoma Marathon kuiunga mkono Serikali mapambano dhidi ya Saratani ya Shingo ya kizazi na kusomesha Wataalam wa Afya 📌 Apongeza Kampeni ya MTU NI AFYA inayohamasisha…
Majimbo mapya nane yaongezwa kwenye Uchaguzi Mkuu 2025
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza ongezeko la majimbo mapya nane (8) ya uchaguzi kwa Tanzania Bara, na kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272, ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge…
Mradi ws Sequip wajenga shule sita mpya Iramba – DC Mwenda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Serikali kupitia mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) imetumia Bilioni 6.361 kujenga shule mpya sita za sekondari, shule sita zimefanyiwa ujenzi wa upanuzi wa miundombinu ya kidato cha 5 na 6, Ujenzi…
Brahmagupta mvumbizi wa sifuri
Na Philipo Msengi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika karne za kale, wakati dunia ikiendelea na harakati zake za awali za maarifa na ustaarabu, kulikuwa na fumbo moja lililowatatiza wanahisabati: ni nini kinachowakilisha kutokuwepo kwa kitu? Katika ulimwengu wa hesabu, kila…
Dk Mataragio atembelea vituo vya mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP zilizoko Igunga mkoani Tabora
*📌Ni vya Kuongeza msukumo(pressure) wa mafuta PS-5 na kambi ya kuhifadhi mabomba namba 10 *📌 Ujenzi wa kituo cha kupunguza kasi ya mafuta wafikia asilimia 41 📌 *Apongeza uwepo wa wazawa kwenye shughuli za mradi ikiwemo wanawake Na Neema Mbuja,…